Swali: Mimi ni imamu wa msikiti na maamuma msikitini wameniomba niwasomee historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Jumatatu inayokuja tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal.
Jibu: Hapana, usifanye hivo. Usifanye hivo kabisa siku ya jumatatu. Wanataka ufanye hivo kwa sababu ni siku ya Jumatatu ambayo imeafikiana na tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal ambapo kunafanywa Bid´ah. Usiwasomee na wala usiwaitikie ombi lao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2125
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Mimi ni imamu wa msikiti na maamuma msikitini wameniomba niwasomee historia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Jumatatu inayokuja tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal.
Jibu: Hapana, usifanye hivo. Usifanye hivo kabisa siku ya jumatatu. Wanataka ufanye hivo kwa sababu ni siku ya Jumatatu ambayo imeafikiana na tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal ambapo kunafanywa Bid´ah. Usiwasomee na wala usiwaitikie ombi lao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2125
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/maamuma-wanataka-wasomewe-historia-ya-mtume-siku-ya-maulidi/