Swali: Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema, kama ilivyo katika Majmuu´-ul-Fataawaa, ya kwamba mtu kumuomba maiti amuombee kwa Allaah ni katika Bid´ah. Je, ni kama…
Jibu: Hii ni Bid´ah ya kishirki. Ni kweli kwamba ni Bid´ah lakini hata hivyo ni Bid´ah ya kishirki. Usifahamu kuwa ni Bid´ah kwa njia ya uharamu peke yake. Bali ni Bid´ah ya kishirki. Shirki pia inaitwa kuwa ni Bid´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (09) http://alfawzan.af.org.sa/node/2127
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema, kama ilivyo katika Majmuu´-ul-Fataawaa, ya kwamba mtu kumuomba maiti amuombee kwa Allaah ni katika Bid´ah. Je, ni kama…
Jibu: Hii ni Bid´ah ya kishirki. Ni kweli kwamba ni Bid´ah lakini hata hivyo ni Bid´ah ya kishirki. Usifahamu kuwa ni Bid´ah kwa njia ya uharamu peke yake. Bali ni Bid´ah ya kishirki. Shirki pia inaitwa kuwa ni Bid´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (09) http://alfawzan.af.org.sa/node/2127
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-kwamba-kumuomba-maiti-duaa-ni-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)