Swali: Je, imamu akiswali kwa kuketi chini maamuma na wao waswali kwa kuketi chini?
Jibu: Wakiswali kwa kuketi chini ndio bora zaidi. Na wakiswali kwa kusimama hapana vibaya. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwakubalia katika swalah ya mwisho kuswali kwa kusimama nyuma ya Abu Bakr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23729/حكم-المامومين-اذا-صلى-الامام-جالسا
- Imechapishwa: 13/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)