Swali: Je, ni sharti kuwepo maafikiano wakati wa kumzingatia fulani kuwa ni mzushi?
Jibu: Hapana. Hii ni kanuni iliyozuliwa. Ni moja miongoni mwa kanuni za al-Halabiy. Mwanachuoni akithibitisha dalili juu ya kwamba fulani ni mzushi na akathibitisha kuwa hoja imekwishamsimamia, ima kwa mahojiano au kupitia kitu ambacho kila mtu anajua kuwa ni Bid´ah, itatosha. Kusema kuwa ni lazima kuwepo maafikiano ni jambo halina msingi kwa Salaf.
Watu hawa wanachotaka ni kuwafanya Ahl-ul-Bid´ah wang´ae na wafiche aibu, kasoro na fedheha zao.
- Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=128982
- Imechapishwa: 13/11/2022
Swali: Je, ni sharti kuwepo maafikiano wakati wa kumzingatia fulani kuwa ni mzushi?
Jibu: Hapana. Hii ni kanuni iliyozuliwa. Ni moja miongoni mwa kanuni za al-Halabiy. Mwanachuoni akithibitisha dalili juu ya kwamba fulani ni mzushi na akathibitisha kuwa hoja imekwishamsimamia, ima kwa mahojiano au kupitia kitu ambacho kila mtu anajua kuwa ni Bid´ah, itatosha. Kusema kuwa ni lazima kuwepo maafikiano ni jambo halina msingi kwa Salaf.
Watu hawa wanachotaka ni kuwafanya Ahl-ul-Bid´ah wang´ae na wafiche aibu, kasoro na fedheha zao.
Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=128982
Imechapishwa: 13/11/2022
https://firqatunnajia.com/maafikiano-ya-tabdiy-ni-kanuni-ya-al-halabiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)