Swali: Kuna mtu katika mji wetu anatangamana na Hizbiyyuun na anapokea mshahara kutoka kwao na anasema juu ya minbari: “Mimi naweza kusoma vitabu vya wanachuoni ili nipate fatwa badala ya kila wakati kuwasiliana nao.” Lakini hata hivyo mtu huyu hakusoma kwa wanachuoni. Unatunasihi vipi?
Jibu: Pengine mtu huyu na yeye anajifanya ni mwanachuoni na anachotaka ni kutaka kujulikana.
Maadamu marafiki zake ni Hizbiyyuun na yeye ni katika wao.
- Muhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://ar.miraath.net/fatwah/11343
- Imechapishwa: 04/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)