Swali: Kuhusiana na kusimama kwa ajili ya kuswali. Baadhi ya watu wanapomuona imamu wanasimama na wengine wanasimama pindi muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imekwishasimama.”
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Jambo ni lenye wasaa. Asimame wakati kunapokimiwa; mwanzoni, katikati na mwishoni mwake. Muhimu ni kwamba asimame kabla ya imamu kuanza kuswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23328/متى-يكون-القيام-للصلاة-عند-الاقامة
- Imechapishwa: 27/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)