Swali: Kuhusiana na kusimama kwa ajili ya kuswali. Baadhi ya watu wanapomuona imamu wanasimama na wengine wanasimama pindi muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imekwishasimama.”
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Jambo ni lenye wasaa. Asimame wakati kunapokimiwa; mwanzoni, katikati na mwishoni mwake. Muhimu ni kwamba asimame kabla ya imamu kuanza kuswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23328/متى-يكون-القيام-للصلاة-عند-الاقامة
- Imechapishwa: 27/12/2023
Swali: Kuhusiana na kusimama kwa ajili ya kuswali. Baadhi ya watu wanapomuona imamu wanasimama na wengine wanasimama pindi muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imekwishasimama.”
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Jambo ni lenye wasaa. Asimame wakati kunapokimiwa; mwanzoni, katikati na mwishoni mwake. Muhimu ni kwamba asimame kabla ya imamu kuanza kuswali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23328/متى-يكون-القيام-للصلاة-عند-الاقامة
Imechapishwa: 27/12/2023
https://firqatunnajia.com/lini-asimame-mswaliji/