Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema:
“Katika zama hizi hakuna wanachuoni?”
Je, wanachuoni wataendelea kuwepo mpaka siku ya Qiyaamah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Hakutoacha kuwepo kipote katika Ummah wangu wakiwa juu ya haki hali ya kushinda, hawatowadhuru wenye kuwapinga wala wenye kuwakosesha nusura mpaka ifike amri ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).”
Kisha huyu anasema kuwa hakuna?!
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
- Imechapishwa: 28/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)