Swali: Wajibu wa wanazuoni ni kusema haki na wasiogope lawama ya mwenye kulaumu kwa ajili ya Allaah. Basi kwa nini matokeo yao hayaonekani ilihali tunaona ufisadi unaongezeka?
Jibu: Wajibu ni kusema haki, lakini si sharti ikubalike. Haki inasemwa na kufafanuliwa. Lakini si kila kinachosemwa huonekana athari zake, wala si lazima akubaliwe msemaji kutokana na sababu nyingi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1034/واجب-العلماء-تجاه-الفساد
- Imechapishwa: 08/01/2026
Swali: Wajibu wa wanazuoni ni kusema haki na wasiogope lawama ya mwenye kulaumu kwa ajili ya Allaah. Basi kwa nini matokeo yao hayaonekani ilihali tunaona ufisadi unaongezeka?
Jibu: Wajibu ni kusema haki, lakini si sharti ikubalike. Haki inasemwa na kufafanuliwa. Lakini si kila kinachosemwa huonekana athari zake, wala si lazima akubaliwe msemaji kutokana na sababu nyingi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1034/واجب-العلماء-تجاه-الفساد
Imechapishwa: 08/01/2026
https://firqatunnajia.com/kwanini-wanazuoni-wanaogopa-kusema-haki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket