Swali: Nataka kuoa mke mwingine. Je, inajuzu kwangu kuoa pasina mke wa kwanza kujua hilo?
Jibu: Ni lazima umbainishie. Usimdanganye. Mbainishie kuwa uko na mke na unataka kuoa mke wa pili, wa tatu na wa nne. Hakuna ubaya kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo_%20maftuh-20-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Nataka kuoa mke mwingine. Je, inajuzu kwangu kuoa pasina mke wa kwanza kujua hilo?
Jibu: Ni lazima umbainishie. Usimdanganye. Mbainishie kuwa uko na mke na unataka kuoa mke wa pili, wa tatu na wa nne. Hakuna ubaya kwa hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo_%20maftuh-20-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-umfiche-mke-wako-kuwa-unataka-kuongeza-mke/