Swali: Kwa nini wanachuoni wamesema kuwa damu ndogo ikiingia kwenye nguo ndani ya swalah inasamehewa lakini mkojo mdogo hausamehewi?
Jibu: Kwa sababu kuhusiana na damu kuna tofauti kama ni najisi au si najisi. Tofauti na mkojo kuna maafikiano kuwa ni najisi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 07/04/2017
Swali: Kwa nini wanachuoni wamesema kuwa damu ndogo ikiingia kwenye nguo ndani ya swalah inasamehewa lakini mkojo mdogo hausamehewi?
Jibu: Kwa sababu kuhusiana na damu kuna tofauti kama ni najisi au si najisi. Tofauti na mkojo kuna maafikiano kuwa ni najisi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 07/04/2017
https://firqatunnajia.com/kwanini-damu-ndogo-inasamehewa-lakini-si-mkojo/