Swali: Mlinganizi mmoja Ulaya anasema kuwa namna ya kugawa mirathi kunatakiwa kuangaliwa tena vizuri kwa hoja kwamba mwanamke hii leo anatafuta kama mwanaume na hivyo haitakiwi kubaki katika ule mgawanyo wa zamani…
Jibu: Tunamuomba Allaah usalama. Anapingana na Allaah? Maneno haya ni ya khatari. Ni maneno khatari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 29/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)