Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) anasema: “Mimi niko vile mja Wangu anavyonidhania na Mimi ni pamoja Naye anaponitaja. Akinitaja kwenye nafsi yake Nami namtaja kwenye nafsi Yangu, akinitaja katika kundi, Nami namtaja katika kundi ambalo ni bora kuliko wao, akijikurubisha Kwangu paa moja Nami najikurubisha kwake dhiraa, akijikurubisha Kwangu dhiraa Nami najikurubisha kwake kwa kiasi cha kunyoosha mkono hadi kati ya kifuwa na akinijia kwa mwendo mdogo basi Mimi nitamjia kwa kuchapuka.”[1]
Je, inazingatiwa ni miongoni mwa Hadiyth za sifa za Allaah?
Jibu: Ndio, inapitishwa kwa udhahiri wake kwa njia inayolingana na Allaah. Ni miongoni mwa Hadiyth zinazozungumzia sifa za Allaah kwa njia inayolingana na Allaah.
[1] al-Bukhaariy (7405) na Muslim (2675) na al-Bukhaariy.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23174/معنى-الصفة-في-حديث-تقربت-اليه-باعا
- Imechapishwa: 26/11/2023
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) anasema: “Mimi niko vile mja Wangu anavyonidhania na Mimi ni pamoja Naye anaponitaja. Akinitaja kwenye nafsi yake Nami namtaja kwenye nafsi Yangu, akinitaja katika kundi, Nami namtaja katika kundi ambalo ni bora kuliko wao, akijikurubisha Kwangu paa moja Nami najikurubisha kwake dhiraa, akijikurubisha Kwangu dhiraa Nami najikurubisha kwake kwa kiasi cha kunyoosha mkono hadi kati ya kifuwa na akinijia kwa mwendo mdogo basi Mimi nitamjia kwa kuchapuka.”[1]
Je, inazingatiwa ni miongoni mwa Hadiyth za sifa za Allaah?
Jibu: Ndio, inapitishwa kwa udhahiri wake kwa njia inayolingana na Allaah. Ni miongoni mwa Hadiyth zinazozungumzia sifa za Allaah kwa njia inayolingana na Allaah.
[1] al-Bukhaariy (7405) na Muslim (2675) na al-Bukhaariy.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23174/معنى-الصفة-في-حديث-تقربت-اليه-باعا
Imechapishwa: 26/11/2023
https://firqatunnajia.com/kwa-njia-inayolingana-na-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)