Swali: Umesema kuwa mwenye kuhukumu kwa kanuni za kutungwa ni kafiri. Kunaenezwa uvumi ya kwamba umejirejea. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Mimi sina haki ya kurejea kama ambavyo pia sina haki ya kukufurisha isipokuwa kwa Qur-aan na Sunnah. Yule mwenye kuhukumu kwa kanuni za kutungwa na wakati huohuo anaonelea kuwa ni bora kuliko, anaona kuwa zinalingana na Qur-aan na Shari´ah au anaona kuwa ana khiyari; huyu hakuna shaka yoyote juu ya ukafiri wake kwa mujibu wa wanachuoni wote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Umesema kuwa mwenye kuhukumu kwa kanuni za kutungwa ni kafiri. Kunaenezwa uvumi ya kwamba umejirejea. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Mimi sina haki ya kurejea kama ambavyo pia sina haki ya kukufurisha isipokuwa kwa Qur-aan na Sunnah. Yule mwenye kuhukumu kwa kanuni za kutungwa na wakati huohuo anaonelea kuwa ni bora kuliko, anaona kuwa zinalingana na Qur-aan na Shari´ah au anaona kuwa ana khiyari; huyu hakuna shaka yoyote juu ya ukafiri wake kwa mujibu wa wanachuoni wote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/kwa-nini-asikufurishwi-anayehukumu-kwa-kanuni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)