Swali: Kuna mtu anataka kuoa mke wa pili na akamuwekea sharti mwanamke huyo kulala kwake usiku mmoja na kwa yule mke wa kwanza siku tatu na mwanamke huyo akawa amekubali hilo. Je, kuna dhambi kwa hilo upande wa Shari´ah?
Jibu: Waislamu wako kwa masharti waliowekeana. Akiridhia hilo haina neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (75) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-05.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Kuna mtu anataka kuoa mke wa pili na akamuwekea sharti mwanamke huyo kulala kwake usiku mmoja na kwa yule mke wa kwanza siku tatu na mwanamke huyo akawa amekubali hilo. Je, kuna dhambi kwa hilo upande wa Shari´ah?
Jibu: Waislamu wako kwa masharti waliowekeana. Akiridhia hilo haina neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (75) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-05.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwa-bibi-x-analala-kwake-siku-1-na-kwa-bibi-h-siku-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)