Swali: Je, kunaingia katika kushukuru neema ya kwamba mtu anaizungumzia kama kusema ”Allaah amenineemesha kitu fulani”?
Jibu:
وَأَمَّا بِنِعْمَةِ رَبِّكَ فَحَدِّثْ
”Ama kuhusu neema ya Mola wako izungumzie.”[1]
Kuzizungumzia kwa namna ya kuzishukuru ni katika kuzishukuru. Mtu azizungumzie kwa njia ya kutambua neema ya Allaah, na si kwa njia ya majivuno na kiburi.
[1] 93:11
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24681/هل-من-شكر-النعمة-التحدث-بها
- Imechapishwa: 23/11/2024
Swali: Je, kunaingia katika kushukuru neema ya kwamba mtu anaizungumzia kama kusema ”Allaah amenineemesha kitu fulani”?
Jibu:
وَأَمَّا بِنِعْمَةِ رَبِّكَ فَحَدِّثْ
”Ama kuhusu neema ya Mola wako izungumzie.”[1]
Kuzizungumzia kwa namna ya kuzishukuru ni katika kuzishukuru. Mtu azizungumzie kwa njia ya kutambua neema ya Allaah, na si kwa njia ya majivuno na kiburi.
[1] 93:11
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24681/هل-من-شكر-النعمة-التحدث-بها
Imechapishwa: 23/11/2024
https://firqatunnajia.com/kuzungumzia-neema-ni-katika-kuzishukuru-neema/