Swali: Baadhi ya waadhini wanasema “Laa ilaaha illa Allaah” au kuzungumza kabla ya kuanza kutoa adhaana. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Haijuzu kwa muadhini kuzidisha maneno yoyote katika adhaana. Haijalishi kitu kabla yake au baada yake. Kwa sababu adhaana ni ´ibaadah inayotekelezwa kwa mujibu wa dalili. Vivyo hivyo Iqaamah. Kwa hivyo ni wajibu kwa waadhini kujifungamanisha na yale iliyokuja nayo Shari´ah takasifu na watahadhari kutokamana na nyongeza ambazo hazikuwekwa katika Shari´ah na Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) wala Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/360)
- Imechapishwa: 23/09/2021
Swali: Baadhi ya waadhini wanasema “Laa ilaaha illa Allaah” au kuzungumza kabla ya kuanza kutoa adhaana. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Haijuzu kwa muadhini kuzidisha maneno yoyote katika adhaana. Haijalishi kitu kabla yake au baada yake. Kwa sababu adhaana ni ´ibaadah inayotekelezwa kwa mujibu wa dalili. Vivyo hivyo Iqaamah. Kwa hivyo ni wajibu kwa waadhini kujifungamanisha na yale iliyokuja nayo Shari´ah takasifu na watahadhari kutokamana na nyongeza ambazo hazikuwekwa katika Shari´ah na Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) wala Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/360)
Imechapishwa: 23/09/2021
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-kabla-au-baada-ya-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)