Swali: Je, inajuzu kuzungumza na mke wangu kwa njia ya simu au intaneti kwa sauti na picha kwa kutumia video camera?
Jibu: Kutumia video camera kuna haja gani? Ikiwa ni sauti tu hakuna neno sawa ikiwa utatumia simu au njia zingine za mawasiliano. Ama kuhusu picha ni haramu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340421.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, inajuzu kuzungumza na mke wangu kwa njia ya simu au intaneti kwa sauti na picha kwa kutumia video camera?
Jibu: Kutumia video camera kuna haja gani? Ikiwa ni sauti tu hakuna neno sawa ikiwa utatumia simu au njia zingine za mawasiliano. Ama kuhusu picha ni haramu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340421.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuzunguma-na-mke-kwa-kutumia-video-camera/