Swali: Inajuzu kuzipaka nywele rangi nyeusi kabisa pamoja na hina?
Jibu: Kuzipaka nywele rangi nyeusi kabisa ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zibadilisheni mvi hizi na jiepusheni na [rangi] nyeusi.”
Lakini hakuna neno endapo mtu ataichanga pamoja na rangi nyingine na ikawa si nyeusi kabisa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/119-120)
- Imechapishwa: 28/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)