Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzipaka nywele zake rangi nyingine isiyokuwa nyeusi kama mfano wa rangi ya chokleiti na nyekundunyekundu?
Jibu: Kimsingi katika jambo hili ni kufaa. Isipokuwa ikifikia katika kiwango cha kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri, makahaba, watenda dhambi. Katika hali hiyo itakuwa haramu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/118)
- Imechapishwa: 28/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzipaka nywele zake rangi nyingine isiyokuwa nyeusi kama mfano wa rangi ya chokleiti na nyekundunyekundu?
Jibu: Kimsingi katika jambo hili ni kufaa. Isipokuwa ikifikia katika kiwango cha kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri, makahaba, watenda dhambi. Katika hali hiyo itakuwa haramu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/118)
Imechapishwa: 28/06/2017
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-wanawake-kubadili-rangi-ya-nywele-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)