Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuzembea akampenda mwalimu wake na kuyatanguliza maneno yake juu ya maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Haya ni maasi na ni kufuata kichwa mchunga. Akihalalisha hilo na akaona kuwa mwalimu wake ni mwenye kutangulizwa kabla ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anakufuru kufuru kubwa. Hayo ni pale atapohalalisha hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 41
- Imechapishwa: 13/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)