Swali: Je, uwindaji kwa njia ya burudani na kupoteza muda, na si kwamba mtu ana shida ya chakula, unafaa?
Jibu: Inafaa ijapo inachukiza. Imekuja katika Hadiyth:
”… yule mwenye kufuata mawindo anafanya upuuzi… ”[1]
Kufanya uwindaji ilihali si muhitaji ni jambo linalochukiza.
[1] Abu Daawuud (2859), at-Tirmidhiy (2256), an-Nasaa’iy (4309) na Ahmad (3362). Swahiyh kwa mujibu wa Albaaniy katika “Swahiyh Sunan an-Nasaa’iy” (4320).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Swali: Je, uwindaji kwa njia ya burudani na kupoteza muda, na si kwamba mtu ana shida ya chakula, unafaa?
Jibu: Inafaa ijapo inachukiza. Imekuja katika Hadiyth:
”… yule mwenye kufuata mawindo anafanya upuuzi… ”[1]
Kufanya uwindaji ilihali si muhitaji ni jambo linalochukiza.
[1] Abu Daawuud (2859), at-Tirmidhiy (2256), an-Nasaa’iy (4309) na Ahmad (3362). Swahiyh kwa mujibu wa Albaaniy katika “Swahiyh Sunan an-Nasaa’iy” (4320).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/12/2023
https://firqatunnajia.com/kuwinda-kama-burudani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket