Swali: Je, ni wajibu kwa wazazi kumvalisha msichana wao ambaye ana umri wa miaka saba Hijaab ya Kishari´ah?
Jibu: Hapana. Kusema ni wajibu sio wajibu. Lakini ikiwa makusudio yao wanamaanisha kumzowesha Hijaab, ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-4-20.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Je, ni wajibu kwa wazazi kumvalisha msichana wao ambaye ana umri wa miaka saba Hijaab ya Kishari´ah?
Jibu: Hapana. Kusema ni wajibu sio wajibu. Lakini ikiwa makusudio yao wanamaanisha kumzowesha Hijaab, ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-4-20.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuwazoweza-wasichana-wadogo-kuvaa-hijaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)