Swali: Kumeshapita miaka tano au sita sijaona familia yangu na wala wao hawajaniona. Je, napata dhambi ikiwa nitajipiga picha na kuwatumia picha?
Jibu: Kujichukua picha kwa lengo hili ni haramu na wala haijuzu, kwa sababu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Malaika hawaingii ndani ya nyumba yenye picha.”[1]
Pale ambapo Malaika hawaingii hakuna kheri ndani yake. Unachoweza ni kuwapigia simu familia yao, jambo ambalo litawapa utulivu zaidi juu ya uzima wako kuliko kutumiana picha.
[1] al-Bukhaariy na Muslim.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/354)
- Imechapishwa: 16/05/2026
Swali: Kumeshapita miaka tano au sita sijaona familia yangu na wala wao hawajaniona. Je, napata dhambi ikiwa nitajipiga picha na kuwatumia picha?
Jibu: Kujichukua picha kwa lengo hili ni haramu na wala haijuzu, kwa sababu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Malaika hawaingii ndani ya nyumba yenye picha.”[1]
Pale ambapo Malaika hawaingii hakuna kheri ndani yake. Unachoweza ni kuwapigia simu familia yao, jambo ambalo litawapa utulivu zaidi juu ya uzima wako kuliko kutumiana picha.
[1] al-Bukhaariy na Muslim.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/354)
Imechapishwa: 16/05/2026
https://firqatunnajia.com/kuwatumia-picha-familia/