Swali: Je, watoto wa washirikina wanaswaliwa pindi wanapokufa?
Jibu: Hapana. Ulimwenguni wana hukumu moja kama familia zao. Hawaswaliwi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wao ni katika wao.”
Hawaswaliwi ulimwenguni. Wakiuliwa wana hukumu moja kama wao ulimwenguni. Ninachokusudia ni kwamba zikiuliwa familia zao au wakafa watoto wao wanawafuata familia yao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Wao ni katika wao.”
Hapa ni kuhusu hukumu za duniani. Lakini kuhusu hukumu za Aakhirah wataokoka ikiwa hawakufikiwa [na ujumbe].
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23392/هل-يصلى-على-من-مات-من-اولاد-المشركين
- Imechapishwa: 09/01/2024
Swali: Je, watoto wa washirikina wanaswaliwa pindi wanapokufa?
Jibu: Hapana. Ulimwenguni wana hukumu moja kama familia zao. Hawaswaliwi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wao ni katika wao.”
Hawaswaliwi ulimwenguni. Wakiuliwa wana hukumu moja kama wao ulimwenguni. Ninachokusudia ni kwamba zikiuliwa familia zao au wakafa watoto wao wanawafuata familia yao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Wao ni katika wao.”
Hapa ni kuhusu hukumu za duniani. Lakini kuhusu hukumu za Aakhirah wataokoka ikiwa hawakufikiwa [na ujumbe].
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23392/هل-يصلى-على-من-مات-من-اولاد-المشركين
Imechapishwa: 09/01/2024
https://firqatunnajia.com/kuwaswalia-watoto-wa-washirikina-wanaokufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)