Swali: Vipi mtu kuitwa kwa majina ya wanyama kama vile ´Iyaadhw bin Himaar?
Jibu: Hii ni miongoni mwa desturi ya waarabu katika kipindi kabla ya kuja Uislamu. Walikuwa wakiitwa kwa majina kama Himaar na Jahsh. Wako waarabu hii leo wanaitwa Jahsh, Himaar na Thawr. Lakini bora mtu asijiite kwa majina ya wanyama.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22337/حكم-تسمية-البشر-باسماء-الحيوانات
- Imechapishwa: 10/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)