Swali: Je, inafaa kwangu kukaa peke yangu na kuzungumza hali ya kuamrisha mema na kukemea maovu ili majini yaliyoko karibu nami yapate kunisikia?
Jibu: Wanasihi na wakemee watu. Kuhusu majini wako na waumini wa kijini ambao wanawatosheleza – Allaah akitaka. Waachie kazi hiyo majini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
- Imechapishwa: 02/02/2024
Swali: Je, inafaa kwangu kukaa peke yangu na kuzungumza hali ya kuamrisha mema na kukemea maovu ili majini yaliyoko karibu nami yapate kunisikia?
Jibu: Wanasihi na wakemee watu. Kuhusu majini wako na waumini wa kijini ambao wanawatosheleza – Allaah akitaka. Waachie kazi hiyo majini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
Imechapishwa: 02/02/2024
https://firqatunnajia.com/kuwaligania-majini/