Swali: Kama mtu anataka kufungisha ndoa kati ya watu na wao wanataka kumuwekea sharti batili. Hata hivyo akataka kuwafungisha ndoa na hali yao mpaka baada ya ndoa ndio awaeleze kuwa sharti ilikuwa batili. Je, sahihi kufanya hivo?
Jibu: Hapana, awafunze. Asitimize shari hiyo. Awafunze ya kwamba sharti hiyo ni batili. Asiwafungishe ndoa. Awabainishie na asiwaghushi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23644/هل-يجوز-اتمام-العقد-وفيه-شرط-باطل
- Imechapishwa: 11/03/2024
Swali: Kama mtu anataka kufungisha ndoa kati ya watu na wao wanataka kumuwekea sharti batili. Hata hivyo akataka kuwafungisha ndoa na hali yao mpaka baada ya ndoa ndio awaeleze kuwa sharti ilikuwa batili. Je, sahihi kufanya hivo?
Jibu: Hapana, awafunze. Asitimize shari hiyo. Awafunze ya kwamba sharti hiyo ni batili. Asiwafungishe ndoa. Awabainishie na asiwaghushi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23644/هل-يجوز-اتمام-العقد-وفيه-شرط-باطل
Imechapishwa: 11/03/2024
https://firqatunnajia.com/kuwafungisha-ndoa-ilihali-unajua-kuwa-kuna-sharti-wamewekeana-baina-yao-batili/