Swali: Je, inafaa kuilinda misikiti na wafanyakazi makafiri?
Jibu: Hapana, wafanyakazi hao wasione misikiti kwa sababu hawaaminiki. Lakini hapana vibaya wakiingia msikitini ili wanywe [maji] au wasikilize [darsa]. Ama wawe ndio wafanyakazi wenye kuiimarisha misikiti hapana, kwa sababu hawaamini katika kuiimarisha misikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23645/ما-حكم-صيانة-عمال-غير-مسلمين-للمسجد
- Imechapishwa: 11/03/2024
Swali: Je, inafaa kuilinda misikiti na wafanyakazi makafiri?
Jibu: Hapana, wafanyakazi hao wasione misikiti kwa sababu hawaaminiki. Lakini hapana vibaya wakiingia msikitini ili wanywe [maji] au wasikilize [darsa]. Ama wawe ndio wafanyakazi wenye kuiimarisha misikiti hapana, kwa sababu hawaamini katika kuiimarisha misikiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23645/ما-حكم-صيانة-عمال-غير-مسلمين-للمسجد
Imechapishwa: 11/03/2024
https://firqatunnajia.com/wafanyakazi-makafiri-misikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)