Swali: Mimi nina shangazi ambaye sina mawasiliano naye kwa kuwa ninakhofia asinifanyie uchawi au kunifanya nikatumia madawa ya kulevya na mvinyo. Je, nina dhambi kwa kutokuwa na mawasiliano na yeye?
Jibu: Ikiwa ni kweli na yuko kama jinsi ulivosema, wewe ni mwenye kupewa udhuru kutokuwa na mawasiliano naye kwa kuhifadhi dini yako. Ama ikiwa una shaka tu na huna uhakika, kuwa na mawasiliano naye. Haki yake ya udugu haianguki midhali hujui kuwa yuko katika sifa inayomtoa katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-5-11-1435.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket