Swali: Hupatwa na furaha kubwa baada ya kufanya matendo mema kama swalah na kusoma Qur-aan. Je, hili linajuzu? Ninakhofia kujiona kwa matendo yangu?
Jibu: Furaha sio kitu kinachotokamana na wewe. Ni kitu kinachotoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hii ni dalili ya kheri. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
قُلْ بِفَضْلِ اللَّـهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَبِذَٰلِكَ فَلْيَفْرَحُوا هُوَ خَيْرٌ مِّمَّا يَجْمَعُونَ
“Sema: “Kwa fadhilah za Allaah na kwa rehema Yake basi kwa hayo wafurahi.” Hayo ni kheri kuliko wanayoyakusanya.” (10:58)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Hupatwa na furaha kubwa baada ya kufanya matendo mema kama swalah na kusoma Qur-aan. Je, hili linajuzu? Ninakhofia kujiona kwa matendo yangu?
Jibu: Furaha sio kitu kinachotokamana na wewe. Ni kitu kinachotoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hii ni dalili ya kheri. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
قُلْ بِفَضْلِ اللَّـهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَبِذَٰلِكَ فَلْيَفْرَحُوا هُوَ خَيْرٌ مِّمَّا يَجْمَعُونَ
“Sema: “Kwa fadhilah za Allaah na kwa rehema Yake basi kwa hayo wafurahi.” Hayo ni kheri kuliko wanayoyakusanya.” (10:58)
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuwa-na-furaha-kwa-matendo-mema-anayofanya-mtu/