Haijuzu kuuza ngozi ya Udhhiyah. Ima aipeane zawadi, aitoe swadaqah au aitumie. Akimpa ngozi hiyo mchinjaji hakuna neno muda wa kuwa hakutoathiri malipo yake. Haifai endapo atampa ngozi hiyo kana kwamba anachukua malipo yake. Ni lazima ampe malipo yasiyokuwa ngozi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (26/23)
- Imechapishwa: 28/07/2020
Haijuzu kuuza ngozi ya Udhhiyah. Ima aipeane zawadi, aitoe swadaqah au aitumie. Akimpa ngozi hiyo mchinjaji hakuna neno muda wa kuwa hakutoathiri malipo yake. Haifai endapo atampa ngozi hiyo kana kwamba anachukua malipo yake. Ni lazima ampe malipo yasiyokuwa ngozi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (26/23)
Imechapishwa: 28/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuuza-ngozi-ya-kichinjwa-katika-iyd-ul-adhwhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)