Swali: Wakati wa kuanza Twawaaf kunanyanyuliwa mikono miwili au unanyanyuliwa mkono mmoja peke yake?
Jibu: Wakati wa kuashiria jiwe jeusi mtu atanyanyua mkono wa kulia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
- Imechapishwa: 28/07/2020
Swali: Wakati wa kuanza Twawaaf kunanyanyuliwa mikono miwili au unanyanyuliwa mkono mmoja peke yake?
Jibu: Wakati wa kuashiria jiwe jeusi mtu atanyanyua mkono wa kulia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
Imechapishwa: 28/07/2020
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mkono-kuelekeza-jiwe-jeusi/