Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza baada ya adhaana ya kwanza?
Jibu: Hapana vibaya. Uharamu ni kuuza baada ya adhaana ya pili. Kukiadhiniwa baada ya adhaana ya pili imeharamishwa kuuza na inakuwa batili. Adhaana ya pili ni pale ambapo imamu anaingia msikitini kwa ajili ya kutoa Khutbah. Huu ndio wakati wa adhaana ya pili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22602/حكم-البيع-بعد-النداء-الاول-يوم-الجمعة
- Imechapishwa: 08/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)