Swali: Ikiwa kile kitedo cha kuunga udugu na ndugu zangu kinawafanya wao kufanya maovu mbele yangu na hawaachi pindi ninapowakataza nina dhambi endapo sintounga nao kizazi?
Jibu: Kuhusu kuunga nao kizazi unga nao na usiwaache. Lakini endapo hawatokubali nasaha na kuacha maovu usikae nao. Ama kuhusu kuunga nao kizazi fanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%204-13-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)