Swali: Baadhi ya misikiti wanaweka ubao ambao wanatundika juu yake vitu vilivyopotea kama vile funguo, Subha au kalamu ndani ya msikiti?
Jibu: Maoni ya karibu zaidi na usawa ni kwamba ubao uwe nje ya msikiti. Kwa sababu kufanya hivo ni aina fulani ya kutangaza kwa kitendo. Huku ni kutangaza kwa kitendo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-تعليق-لوحة-المفقودات-في-المساجد
- Imechapishwa: 16/10/2022
Swali: Baadhi ya misikiti wanaweka ubao ambao wanatundika juu yake vitu vilivyopotea kama vile funguo, Subha au kalamu ndani ya msikiti?
Jibu: Maoni ya karibu zaidi na usawa ni kwamba ubao uwe nje ya msikiti. Kwa sababu kufanya hivo ni aina fulani ya kutangaza kwa kitendo. Huku ni kutangaza kwa kitendo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-تعليق-لوحة-المفقودات-في-المساجد
Imechapishwa: 16/10/2022
https://firqatunnajia.com/kutundika-vilivyopotea-ndani-ya-msikiti/