Kutundika vilivyopotea ndani ya msikiti

Swali: Baadhi ya misikiti wanaweka ubao ambao wanatundika juu yake vitu vilivyopotea kama vile funguo, Subha au kalamu ndani ya msikiti?

Jibu: Maoni ya karibu zaidi na usawa ni kwamba ubao uwe nje ya msikiti. Kwa sababu kufanya hivo ni aina fulani ya kutangaza kwa kitendo. Huku ni kutangaza kwa kitendo.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-تعليق-لوحة-المفقودات-في-المساجد
  • Imechapishwa: 16/10/2022