Swali: Je, inajuzu kusema uongo kwa ajili ya maslahi ya Da´wah?
Jibu: Hapana, uongo haujuzu kamwe. Hakuna maslahi ya Da´wah. Bali ndani yake kuna madhara ya Da´wah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-25.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Je, inajuzu kusema uongo kwa ajili ya maslahi ya Da´wah?
Jibu: Hapana, uongo haujuzu kamwe. Hakuna maslahi ya Da´wah. Bali ndani yake kuna madhara ya Da´wah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-25.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kutumia-uongo-katika-dawah/