Swali: Nchini Sudan baadhi ya wanawake hutumia baadhi ya vyakula, kama unga, katika manukato katika kuondosha harufu mbaya. Je, kuna makatazo yoyote ya Kishari´ah?
Jibu: Hapana neno.
Mwanafunzi: Hakuna ubaya?
Ibn Baaz: Ni kwa lengo la dawa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23336/حكم-استعمال-الطعام-لازالة-رواىح-الجسم
- Imechapishwa: 28/12/2023
Swali: Nchini Sudan baadhi ya wanawake hutumia baadhi ya vyakula, kama unga, katika manukato katika kuondosha harufu mbaya. Je, kuna makatazo yoyote ya Kishari´ah?
Jibu: Hapana neno.
Mwanafunzi: Hakuna ubaya?
Ibn Baaz: Ni kwa lengo la dawa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23336/حكم-استعمال-الطعام-لازالة-رواىح-الجسم
Imechapishwa: 28/12/2023
https://firqatunnajia.com/kutumia-baadhi-ya-vyakula-katika-kuondosha-harufu-mbaya-mwilini/