Swali: Je, mtu anazingatiwa kuwa anaficha elimu akiacha kutahadharisha wenye kwenda kinyume na watu wa Bid´ah?
Jibu: Anaacha kufanya hivo kwa sababu ya kuwaogopa watu? Anaacha kutahadharisha shirki au madhambi mengine kwa ajili ya kuwaogopa watu? Ndio, hili linaingia katika kuwa na woga kwa asiyekuwa Allaah (´Azza wa Jall) na ni aina ya shirki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)