Swali: Vipi kwa mwenye kutosheka na kuifanya du´aa kuwa ni sababu katika kujitibu?

Jibu: Du´aa ni sababu pia. Lakini akijitibu kwa kitu kingine; kama vyakula, vinywaji, kujichoma kwa chuma cha moto, mafuta au vyenginevyo. Hapana vibaya kufanya sababu.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22247/حكم-الاكتفاء-بالدعاء-في-التداوي
  • Imechapishwa: 20/01/2023