Swali: Baadhi ya watu wakati wanapoomba du´aa wanaweka mikono kwenye magoti na hawainyanyui juu kwa sababu ya kuchelea kujionyesha. Je, ni sahihi?
Jibu: Bora ni kunyanyua mikono mahali pa kunyanyua mikono. Bora ni kunyanyua mikono mahali pa kunyanyua mikono na kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kama alivofanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati wa kuomba kunyesha mvua.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22665/حكم-عدم-رفع-اليدين-في-الدعاء-مخافة-الرياء
- Imechapishwa: 15/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)