Swali: Mtoa mawaidha akisimama na kuwawaidhi watu baada ya swalah na wakatoka baadhi ya maamuma. Je, wanaingia ndani ya Hadiyth isemayo:
“… amempa mgongo Allaah basi Naye Allaah akampa mgongo.”?
Jibu: Kunakhofiwa akaingia miongoni mwa wale waliopuuza Naye Allaah akampuuza. Inatakikana anaposimama mtoa mawaidha wasikilize wahuhuduriaji na wafaidike.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23656/حكم-من-يخرج-اثناء-الموعظة-بعد-الصلاة
- Imechapishwa: 12/03/2024
Swali: Mtoa mawaidha akisimama na kuwawaidhi watu baada ya swalah na wakatoka baadhi ya maamuma. Je, wanaingia ndani ya Hadiyth isemayo:
“… amempa mgongo Allaah basi Naye Allaah akampa mgongo.”?
Jibu: Kunakhofiwa akaingia miongoni mwa wale waliopuuza Naye Allaah akampuuza. Inatakikana anaposimama mtoa mawaidha wasikilize wahuhuduriaji na wafaidike.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23656/حكم-من-يخرج-اثناء-الموعظة-بعد-الصلاة
Imechapishwa: 12/03/2024
https://firqatunnajia.com/kutoka-nje-ya-msikiti-wakati-wa-mawaidha-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)