Ni haramu kwa anayefanya I´tikaaf kufanya tendo la ndoa, vitangulizi vyake kukiwemo kubusu na kupapasa kwa matamanio. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تُبَاشِرُوهُنَّ وَأَنتُمْ عَاكِفُونَ فِي الْمَسَاجِدِ
“Na wala msichanganyike nao hali ya kuwa nyinyi ni wenye kukaa I’tikaaf misikitini.”[1]
Hapana vibaya kutoka msikitini ikiwa atatoa baadhi ya sehemu ya mwili wake. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoa kichwa chake nje ya msikiti ilihali anafanya I´tikaaf ambapo nikakiosha nami niko na hedhi.”
Ameipokea al-Bukhaariy.
Imepokelewa katika upokezi mwingine:
“Alikuwa akichanua kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ilihali yuko na hedhi na yeye yuko katika I´tikaaf msikitini na yeye ´Aaishah akiwa chumbani mwake ambapo anamnyooshea kichwa chake.”
[1] 02:187
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 157
- Imechapishwa: 12/03/2024
Ni haramu kwa anayefanya I´tikaaf kufanya tendo la ndoa, vitangulizi vyake kukiwemo kubusu na kupapasa kwa matamanio. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تُبَاشِرُوهُنَّ وَأَنتُمْ عَاكِفُونَ فِي الْمَسَاجِدِ
“Na wala msichanganyike nao hali ya kuwa nyinyi ni wenye kukaa I’tikaaf misikitini.”[1]
Hapana vibaya kutoka msikitini ikiwa atatoa baadhi ya sehemu ya mwili wake. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoa kichwa chake nje ya msikiti ilihali anafanya I´tikaaf ambapo nikakiosha nami niko na hedhi.”
Ameipokea al-Bukhaariy.
Imepokelewa katika upokezi mwingine:
“Alikuwa akichanua kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ilihali yuko na hedhi na yeye yuko katika I´tikaaf msikitini na yeye ´Aaishah akiwa chumbani mwake ambapo anamnyooshea kichwa chake.”
[1] 02:187
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 157
Imechapishwa: 12/03/2024
https://firqatunnajia.com/86-uharamu-kwa-anayefanya-itikaaf-kufanya-tendo-la-ndoa-na-vitangulizi-vyake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)