Swali: Ni ipi hukumu ya kuchonga nyusi na kuondosha nywele za usoni[1] kwa wanawake?
Jibu: Kuchonga nyusi wala kujisafisha ngozi ya mwili haijuzu. Huku ni kubadilisha maumbile ya Allaah (´Azza wa Jall). Mwenye kuchonga nyusi amelaaniwa. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kuchonga nyusi na mwenye kuchongwa. Ni mwanamke mwenye kuondosha nyusi zake au baadhi yake. Hali kadhalika inahusiana na kusafisha ngozi ya mwili. Ni sawa akajipodoa kwa vipodozi vinavyoruhusiwa tofauti na kujisafisha ngozi ya mwili jambo ambalo ni njia moja wapo ya kubadilisha maumbile ya Allaah.
[1] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Chemical_peel
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchonga nyusi na kuondosha nywele za usoni[1] kwa wanawake?
Jibu: Kuchonga nyusi wala kujisafisha ngozi ya mwili haijuzu. Huku ni kubadilisha maumbile ya Allaah (´Azza wa Jall). Mwenye kuchonga nyusi amelaaniwa. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kuchonga nyusi na mwenye kuchongwa. Ni mwanamke mwenye kuondosha nyusi zake au baadhi yake. Hali kadhalika inahusiana na kusafisha ngozi ya mwili. Ni sawa akajipodoa kwa vipodozi vinavyoruhusiwa tofauti na kujisafisha ngozi ya mwili jambo ambalo ni njia moja wapo ya kubadilisha maumbile ya Allaah.
[1] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Chemical_peel
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/kutengeza-nyusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)