Kutaja madhambi uliyoyafanya zamani kwa lengo la kukumbusha wengine

Swali: Je, inafaa kwa mtu kutaja hali zake za zamani za maasi kwa lengo la kutoa mawaidha na mazingatio?

Jibu: Hapana, hayo ni baina yake na Mola wake. Ambaye Allaah amemsitiri basi aisitiri nafsi yake na ajitahidi kutubia kwa Allaah na kumuomba usalama.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23094/هل-يجوز-ذكر-المعاصي-الماضية-للاتعاظ
  • Imechapishwa: 30/10/2023