Swali: Je, inafaa kila swalah inayopendeza kuiswali kwa mkusanyiko?
Jibu: Ni kama mfano wa Dhuhaa na mfano wa swalah ya Tahajjud usiku. Zote hapana vibaya mtu kuziswali kwa mkusanyiko katika baadhi ya wakati. Sio Rawaatib.
Swali: Vipi swalah nyenginezo za kujitolea ikiwa ni kwa lengo la kuwafunza familia?
Jibu: Sijafikiwa na chochote. Rawaatib aziswali kama zilivyo.
Swali: Je, inafaa kuswali pamoja na familia kwa lengo la kuwafunza familia?
Jibu: Hakuna neno kwa lengo la kuwafunza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23734/هل-تجوز-صلاة-جميع-النوافل-في-جماعة
- Imechapishwa: 17/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)