Swali: Mtu hatokutana na wakati uliokatazwa akiswali mpaka atakapoingia Khatwiyb siku ya ijumaa?
Jibu: Siku ya ijumaa hakuna wakati uliokatazwa. Hakuna wakati uliokatazwa katika kipindi cha mchana. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kuswali mpaka atakapoingia imamu. Kungelikuwa na wakati uliokatazwa basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) angelibagua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22603/حكم-النافلة-يوم-الجمعة-حتى-دخول-الخطيب
- Imechapishwa: 08/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)