Swali: Niliingia msikitini baada ya adhaana ya Fajr nikaswali swalah ya mamkuzi ya msikiti kisha nikaswali Raatibah ya Fajr. Je, kitendo changu ni sahihi?
Jibu: Raatibah ya Fajr inatosheleza. Ukiswali Rak´ah mbili kwa kunuia Raatibah ya Fajr, inatosheleza kwa swalah ya mamkuzi ya msikiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-jum_ah-15-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Niliingia msikitini baada ya adhaana ya Fajr nikaswali swalah ya mamkuzi ya msikiti kisha nikaswali Raatibah ya Fajr. Je, kitendo changu ni sahihi?
Jibu: Raatibah ya Fajr inatosheleza. Ukiswali Rak´ah mbili kwa kunuia Raatibah ya Fajr, inatosheleza kwa swalah ya mamkuzi ya msikiti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-jum_ah-15-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/kuswali-raatibah-ya-al-fajr-pamoja-na-kunuia-tahiyyat-ul-masjid__trashed/