Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu anayevaa nguo chini ya fundo za miguu pamoja na kwamba amenasihiwa lakini hakupokea nasaha?
Jibu: Swalah ni sahihi, lakini anapata dhambi kwa kuvaa nguo chini ya fundo za miguu. Ikiwa kuna imamu mwingine kwenye Msikiti mwingine swali nyuma yake na achana na huyu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-19-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu anayevaa nguo chini ya fundo za miguu pamoja na kwamba amenasihiwa lakini hakupokea nasaha?
Jibu: Swalah ni sahihi, lakini anapata dhambi kwa kuvaa nguo chini ya fundo za miguu. Ikiwa kuna imamu mwingine kwenye Msikiti mwingine swali nyuma yake na achana na huyu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-19-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-musbil/