Swali: Inafaa kuswali kwenye msikiti ambao kafiri ndiye kajitolea katika kuujenga?
Jibu: Bora misikiti ijengwe na waislamu. Lakini kafiri akisimamia zoezi la kujenga msikiti kutoka katika chumo la pesa ambayo ni halali, ndani yake haina haramu na pia kafiri huyo asiwe na kusudio baya juu ya waislamu, hakuna kikwazo kuswali ndani ya msikiti huu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Lj91ZhPBbFA
- Imechapishwa: 25/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket