Swali: Vipi kuhusu kuswali maeneo ya ngamia?
Jibu: Haifai kuswali katika maeneo ya ngamia, maeneo ya ngamia haifai kuswali mahali hapo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuswali katika maeneo ya ngamia, lakini inafaa kuswali katika mazizi ya kondoo na mbuzi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25024/ما-حكم-الصلاة-في-مواطن-الابل
- Imechapishwa: 25/01/2025
Swali: Vipi kuhusu kuswali maeneo ya ngamia?
Jibu: Haifai kuswali katika maeneo ya ngamia, maeneo ya ngamia haifai kuswali mahali hapo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuswali katika maeneo ya ngamia, lakini inafaa kuswali katika mazizi ya kondoo na mbuzi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25024/ما-حكم-الصلاة-في-مواطن-الابل
Imechapishwa: 25/01/2025
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwenye-mazizi-ya-ngamia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)